• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • MMM
    • Barua pepe za Watumishi
Local Government Loans Board

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Bodi ya Mikopo ya Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Makatibu Waliowahi Kuongoza Bodi
    • Orodha ya Wajumbe wa Bodi
    • Orodha ya Mawaziri TAMISEMI
  • Huduma
    • Huduma Zetu
  • Utawala
    • Muundo
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Kanuni
    • Kuomba Mkopo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Miradi
    • Miradi iliyokwisha
    • Mwongozo wa Uombaji wa Mkopo

Huduma Zinazotolewa na Bodi

MAJUKUMU YA BODI

Jukumu la msingi la Bodi ya Mikopo ya Serikali za Mitaa kama ilivyoainishwa katika Sheria ya Fedha za Serikali za Mitaa, Sura ya 290 RE 2000 ni kutoa mikopo yenye masharti nafuu kwenye Halmashauri kwa ajili ya kutekelezea miradi ili kusaidia kuleta maendeleo.

Aidha, kazi ambazo zinapaswa kutekelezwa na Bodi zimeainishwa chini ya Kifungu cha 60 cha  Sheria ya Fedha za Serikali za Mitaa Sura ya 290;

1.Kupokea, kusimamia na kuwekeza (invest) fedha za Bodi.

2.Kuzikopesha Mamlaka za Serikali za Mitaa fedha za Bodi, kwa madhumuni ya kutekelezea miradi na huduma nyingine za maendeleo zinazolenga katika kuziongezea mapato na kuboresha utoaji wa huduma. 

3.Kutoa msaada wa kifedha kwenye Mamlaka ya Serikali za Mitaa kwa njia ya ruzuku, dhamana (guarantees) kwa mikopo itakayoombwa na kupatikana.

4.Kutoa na kuendesha huduma kwa niaba au kwa faida ya Mamlaka za Serikali za Mitaa. 

Matangazo

  • RAIS SAMIA AIWEZESHA REA BILIONI 96.8 UTEKELEZAJI MIRADI YA UMEME VIJIJINI DODOMA May 13, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU WAHITIMU WA KIDATO CHA NNE,2023 KUFANYA MABADILIKO YA TAHASUSI ZA KIDATO CHA TANO NA KOZI ZA VYUO KWA MWAKA 2024 March 20, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MWENENDO WA UREJESHAJI MIKOPO KWENYE HALMASHAURI UNARIDHISHA - DKT. FESTO DUGANGE.

    May 08, 2025
  • MAFUNZO YA UANDISHI BORA WA MAANDIKO YA MIRADI ILI KUZIWEZESHA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA KUPATA PESA ZA MIRADI YA KIMKAKATI

    March 08, 2024
  • MAANDIKO BORA KUZIWEZESHA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA KUPATIWA MIKOPO KWENYE TAASISI ZA FEDHA

    March 25, 2024
  • LAAC: HATUTAKUBALI SERIKALI IPATE HASARA

    March 21, 2024
  • Angalia Zote

Wasiliana Nasi

Local Government Loans Board

Sanduku la Barua: P.O Box 2710

Simu: +255 26 2321730

Barua Pepe: barua@lglb.go.tz

Fax:

Viungo vya Haraka

  • Watumishi Portal
  • President's Office, Regional Adminstration and Local Government
  • MATUKIO

Zinazohusiana

  • Chuo cha Serikali za Mitaa
  • OR-TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI BLOG
  • Benki ya Maendeleo (TIB)

Video Mpya

More Videos
    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Miliki@ Bodi ya Mikoya Mikopo ya Serikali za Mitaa