• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • MMM
    • Barua pepe za Watumishi
Local Government Loans Board

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Bodi ya Mikopo ya Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Makatibu Waliowahi Kuongoza Bodi
    • Orodha ya Wajumbe wa Bodi
    • Orodha ya Mawaziri TAMISEMI
  • Huduma
    • Huduma Zetu
  • Utawala
    • Muundo
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Kanuni
    • Kuomba Mkopo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Miradi
    • Miradi iliyokwisha
    • Mwongozo wa Uombaji wa Mkopo

MAFUNZO YA UANDISHI BORA WA MAANDIKO YA MIRADI ILI KUZIWEZESHA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA KUPATA PESA ZA MIRADI YA KIMKAKATI

Posted on: March 8th, 2024

Mamlaka za Serikali za Mitaa zimekuwa zikikosa fedha kwa ajili yakuanzisha miradi mikakati katika maeneo yao kubwa likiwa ni ukosefu wa utaalamwa uandishi bora wa maandiko ya miradi husika.

Mafunzokazi haya yalitolewa na Ndg. Daniel Lyakinana Mkuu wa Idaraya Mikopo wa Bodi ya Mikopo ya Serikali za Mitaa katika ukumbi wa mikutano waHalmashauri ya Wilaya ya Nyangw’ale hivi karibuni na kuhudhuliwa na Mkuu wa Halmashauriya Wilaya ya Nyangw’ale Bi. Husna Chambo

 

“Nimefurahishwa sana kuona mafunzo haya yanafanyika katika kipindihiki ambapo Halmashauri yetu ina uhitaji mkubwa wa kuwa na miradi itakayoiwezeshaHalmashauri yetu kuwa na vyazo bora vya mapato ya kujiendesha”. alisema Bi.Husna Chambo.

Pia aliwashukuru waandaaji wa mafunzo hayo na kuwaasa watumishiwote kutumia utaalam wao na walioupata katika Mafunzo kazi hayo kuboreshauandishi wa maandiko ya miradi watakayo yaandaa ili kuweza kupata fedhazitakazopelekea kutekeleza miradi katika Halmashauri ya Wilaya ya Nyangw’ale.

Mafunzokazi hayo yaliwashirikisha Wachumi, Wahandisi, MaafisaUgavi, Maafisa Maendeleo ya Jamii na Watunza Hazina wa Halmashauri ya Wilaya yaNyangw’ale. Tayari Mafunzo kazi kama hayo yameshatolewa na yanaendelea kutolewakatika Mikoa na Halmashauri mbali mbali nchi.

Kwa upande mwingine Mkuu wa Idara ya Utawala na Fedha wa Bodi ya Mikopo ya Serikali za Mitaa Ndg. Yeremiah Mahinya baada ya kujibu maswali mbali mbali ya washiriki wa mafunzo haya aliwashauri kubuni na kuandikia miradi mbalimbali pamoja na kusisitiza kwa Halmashauri  kuweka mikakati mizuri kwa kulipa madeni ya mikopo ndani ya halmashauri zao ili kuiwezesha bodi ya mikopo kukopesha halmashauri nyingine kwa wakati.

Bodi ya Mikopo ya Serikali za Mitaa ipo kisheria na ilianzishwa kwa lengo la kuzikopesha Mamlaka za Serikali za Mitaa ili ziweze kutekeleza miradi mbalimbali inayotekelezwa katika Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa wakati.

Matangazo

  • RAIS SAMIA AIWEZESHA REA BILIONI 96.8 UTEKELEZAJI MIRADI YA UMEME VIJIJINI DODOMA May 13, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU WAHITIMU WA KIDATO CHA NNE,2023 KUFANYA MABADILIKO YA TAHASUSI ZA KIDATO CHA TANO NA KOZI ZA VYUO KWA MWAKA 2024 March 20, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MWENENDO WA UREJESHAJI MIKOPO KWENYE HALMASHAURI UNARIDHISHA - DKT. FESTO DUGANGE.

    May 08, 2025
  • MAFUNZO YA UANDISHI BORA WA MAANDIKO YA MIRADI ILI KUZIWEZESHA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA KUPATA PESA ZA MIRADI YA KIMKAKATI

    March 08, 2024
  • MAANDIKO BORA KUZIWEZESHA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA KUPATIWA MIKOPO KWENYE TAASISI ZA FEDHA

    March 25, 2024
  • LAAC: HATUTAKUBALI SERIKALI IPATE HASARA

    March 21, 2024
  • Angalia Zote

Wasiliana Nasi

Local Government Loans Board

Sanduku la Barua: P.O Box 2710

Simu: +255 26 2321730

Barua Pepe: barua@lglb.go.tz

Fax:

Viungo vya Haraka

  • Watumishi Portal
  • President's Office, Regional Adminstration and Local Government
  • MATUKIO

Zinazohusiana

  • Chuo cha Serikali za Mitaa
  • OR-TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI BLOG
  • Benki ya Maendeleo (TIB)

Video Mpya

More Videos
    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Miliki@ Bodi ya Mikoya Mikopo ya Serikali za Mitaa